
Baada ya Arsenal Wenger kumuuza Mshambuliaji wetu hatari Robin Van Persie kwa mahasimu wetu Manchester United mimi ninajifariji na maneno haya ya Kocha wetu wa kuheshimika zaidi kwetu Arsenal Wenger...lakini roho inaumaaaaa!!
Nafarijika zaidi na maneno ya Arsene Wenger ninapowakumbuka wachezaji mashuhuri na wakaliii aliowahi kuwauza na kamwe yeye hajawahi kununua Nyota katika soka..wapige chapo hapo chini.....

Thienry Henry

Patrick Vieira

Ashley Cole

Samir Nasri

Cesc Fabregas
No comments:
Post a Comment