Friday, August 17, 2012

HAYA NDIO "MAJEMBE" YALIYOWAHI KUUZWA NA WENGER


Baada ya Arsenal Wenger kumuuza Mshambuliaji wetu hatari Robin Van Persie kwa mahasimu wetu Manchester United mimi ninajifariji na maneno haya ya Kocha wetu wa kuheshimika zaidi kwetu Arsenal Wenger...lakini roho inaumaaaaa!!

Nafarijika zaidi na maneno ya Arsene Wenger ninapowakumbuka wachezaji mashuhuri na wakaliii aliowahi kuwauza na kamwe yeye hajawahi kununua Nyota katika soka..wapige chapo hapo chini.....

Thienry Henry









Patrick Vieira


Ashley Cole



Samir Nasri

Cesc Fabregas - Arsenal v Stoke City - Premier League
Cesc Fabregas

No comments:

Post a Comment