Friday, August 3, 2012

NGASSA AANZA MAZOEZI SIMBA, AKABIDHIWA TOYOTA VEROSSA ATIINGA NALO COCO BEACH


Ndinga alilokabidhiwa Ngassa na klabu yake mpa ya Simba S.C ya jijini Dar es salaam.
Club ya soka ya Azam ilitangaza kwamba Mchezaji wao Mrisho Ngasa tayari amepelekwa Simba kwa mkopo ambapo Simba walipewa sharti la kuhakikisha wanamlipa Ngasa mshahara wake kamili (TZsh 2,000,000) kwa mwezi pamoja na stahiki zake nyingine zote za kimkataba.


Ngassa akijiandaa "kutekenya ndinga yake"


Mashabiki wa Simba wakimkaribisha Ngassa klabuni maeneo ya Msimbazi


Ngassa akiingia coco beach ambako klabu yake mpya ilikuwa ikifanya mazoezi.



Ngassa akitiririka mazoezini katika ufukwe wa Coco Beach


Mrisho Ngassa na Uhuru Selemani




No comments:

Post a Comment