Wednesday, December 5, 2012

KEEP FIGURE DO EXERCISE



Wanawake wengi wanapenda kuwa na miili "shape" kama hizi lakini wao hukimbilia kufanya diet ya vyakula bila kuzingatia mazoezi yanayojenga mwili.
Unatakiwa ufanye Diet ukiwa katika mazoezi maalum ya kujenga mwili, Ni hatari kufanya diet ya vyakula kwa kujinyima na mwisho wa siku unausababishia mwili maradhi yatokanayo na ukosefu wa aina fulani ya virutubisho vinavyopatikana katika vyakula.
FANYA MAZOEZI+DIET(MLO SAHIHI)= GOOD FIGURE(SHAPE)







No comments:

Post a Comment