Friday, December 14, 2012

KOCHA WA PSG YA UFARANSA KUMRITHI MILOVAN SIMBA S.C

Mabingwa wa Soka Tanzania,Bara Simba S.C  imemtangaza Patrick Liewig ambaye ni raia wa Ufaransa kuwa kocha mpya baada ya kusitisha mkataba na kocha wa sasa Mserbia Milovan Cirkovic. Liewig ameshazifundisha PSG ya Ufaransa, Club African ya Tunisia pamoja moja klabu kubwa barani Afrika ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Anatarajiwa kutua nchini baada ya wiki 2 kuanza kukinoa kikosi cha wekundu hao wa Msimbazi.

Wasifu wa Lewig
Date of birth:04.10.1950
Age:62
Nationality:-France
ø-Incumbency as manager:1,97 Years
success-ratio as manager:30,77 % Wins
38,46 % Draw
30,77 % Loss
Preferred formation:4-2-3-1
 



Patrick Liewig

No comments:

Post a Comment