Thursday, March 28, 2013

UEFA WAMFUTIA ADHABU IBRAHIMOVIC KUIVAA BARCELONA


 Zlatan Ibrahimovic

Kamati ya nidhamu ya UEFA imemfutia adhabu mshambuliaji mahiri wa Paris Saint German Zlatan Ibrahimovic huku akiwa tayari ametuikia kwa kukosa mechi moja dhidi ya Valencia. 
Kutokana na kufutiwa adhabu hiyo sasa atakuwemo kwenye kikosi cha PSG kitakachoivaa Barcelona katika mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya wiki ijayo.




No comments:

Post a Comment