Thursday, August 29, 2013

BREAKING NEWZZ!! MAJAMBAZI YAVAMIA BENKI KARIAKOO NA KUPORA FEDHA KIBAO

Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha. Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Habari kamili itakujia hivi punde......

No comments:

Post a Comment