Wednesday, September 11, 2013

BALE AKUTANA NA CRISTIANO RONALDO


1
Bale akisalimiana na Ronaldo muda mfupi baada ya kutua Spain kujiunga na klabu yake mpya ya Real Madrid akitokea Uingereza katika klabu ya Tottenham Hotspurs. Usajili wa Bale umevunja rekodi ya dunia kwa kusajiliwa kwa kiasi cha paundi za uingereza milioni 86. Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Ronaldo aliesajiliwa kwa Paundi milioni 80.


3




28
Bale na kocha Ancelloti

No comments:

Post a Comment