Kilio kilianza pale Kun Aguero alipotupia bao la kwanza dk 16, nae Yaya Toure dk 45 akapigilia msumari mwingine. Kwa mara nyingine tena mwiba ukachomekwa na Aguero dk 47 kabla ya Samir Nasri kuhitimisha mazishi ya Man Utd katika dk ya 50. Goli pekee la kufutia machozi lilitupiwa kambani na Rooney kwa faulo ya kitaaalamu na kuelekez mojz kwa zote kambani. Mpaka mwisho Man C 4-1 Man U.
Mchezo ulikuwa hivi;
Manchester City: Hart 7, Zabaleta 7, Kompany 7, Nastasic 7, Kolarov 7, Jesus Navas 8 (Milner 71 6), Toure 8, Fernandinho 8, Nasri 9, Aguero 8 (Javi Garcia 86), Negredo 8 (Dzeko 75).Wachezaji wa akiba hawakutumika: Richards, Lescott, Pantilimon, Jovetic.
Kadi ya Njano: Nastasic.
Magoli: Aguero 16, Toure 45, Aguero 47, Nasri 50.
Manchester United: De Gea 5, Smalling 6, Ferdinand 6, Vidic 5, Evra 6, Carrick 6, Fellaini 5, Valencia 5, Rooney 6, Young 5 (Cleverley 51 6), Welbeck 6.
Wachezaji wa akiba hawakutumika: Evans, Hernandez, Nani, Kagawa, Buttner, Amos.
Kadi ya Njano: Rooney, Valencia.
Goli: Rooney 87
Mwamuzi: Howard Webb

Aguero akitupia goli la kwanza


Sergio Kun Aguero akishangilia goli

Hekaheka langoni mwa Man Utd

Yaya Toure akitupia goli la pili

Yaya Toure akishangilia goli la pili

Van Parsie akiwa jukwaani akiangalia jahazi la Man Utd likizama

Jamani kweli tunachapwa kama watoto...mhh..................................

Fellaini akichanja mbuga


Makocha katka hali tofauti..kushoto kocha wa Man City Manuel Pellegrini na kulia kocha wa Man Utd David Moyes

Faulo ya Rooney ikielekez kambani


Samir Nasri akishangilia baada ya kuhitimisha msiba wa Man Utd

Benchi la Man UTD Zofli halii...................uuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Joe Hart akipeana mkono na Rooney baada ya mtanange kumalizika
Inauma lakini....................................................
No comments:
Post a Comment