Monday, January 27, 2014

BAINES AONGEZA MKATABA EVERTON

Leighton Baines ameongeza mkataba na timu yake ya Everton ambapo mkataba huo wa miaka minne utambakisha Everton mpaka 2018. Baines amekamilisha taratibu hizo na kuzima kabisa uvumi uliokuwepo kwamba huenda angesajiliwa na Manchester United.

Kocha wa Everton Roberto Martinez amesema "ni kati ya mabeki wa kushoto mahiri katika soka la Uingereza na duniani kote na hvyo nategemea makubwa toka kwa Baines"


Leighton Baines

No comments:

Post a Comment