Friday, March 21, 2014

REAL MADRID INAONGOZA KUNYAKUA KOMBE LA UEFA CHAMPIONS LEAGUE

UEFA Champions League

Wakati draw ya kutafuta timu zitakazopambana katika hatua ya robo fainali ya UEFA itakayochezeshwa majira ya saa 8 mchana kwa saa za Afrika ya mashariki huko jijini Nyon,Switzerland. Real Madrid mpaka sasa inaongoza kwa kulibeba kombe hilo kwa kulinyakua mara 9. 
Ifuatayo ni orodha ya timu zilizokwisha jitishwa ndoo hiyo. Real Madrid (9), Bayern Munich (5), Barcelona (4), Manchester united (3), wakati Chelsea na Borussia Dortmund mara 1 kila moja.

  • Atletico Madrid imetinga robo fainali baada ya miaka 17 kwa kuichabanga AC Milan jumla ya mabao 5-1.
  • Kwa mwaka wa pili mfululizo Spain imeingiza timu nyingi katika hatua ya robo fainali ikifuatiwa na Uingereza 2,Ujerumani 2,France 1.
  •  
Baada ya draw kuchezeshwa leo mechi za robo fainali zitachezwa April 1 na 2. Marudio April 8 na 9.

No comments:

Post a Comment