Monday, July 11, 2011

HYDERABAD THE CITY OF PEARLS

Hyderabad is the capital of the state Andhra Pradesh, India.
Hyderabad is known for its rich history and culture.
Hyderabad is called the city of Pearls and City of Nizams
Telugu and Urdu is spoken mostly in City of Hyderabad.
It is a hub of information technology, ITES and biotechnology.
Hyderabad and Secunderabad are twin cities, separated by
the Hussain Sagar, a man-made lake made during the time of
Ibrahim Qutub Shah in 1562.

As of 2010 it is the sixth most populous city and sixth-most
populous urban city in India.
Hyderabad was founded by Muhammad Quli Qutb Shah in 1591
on the banks of Musi river.

Today the city covers an area of approximately 650 km.
The twin cities of Hyderabad and Secunderabad come under
the single municipal unit, The Greater Hyderabad Municipal Corporation.
Hyderabad has developed into one of the major hubs for
the information technology industry in India.
It also got a major attraction of Cyberabad or Hitech city
because of Presence of Software Technology Industry.
It also have various Biotechnolgoy and Pharmaceutics companies
have set up their opeations in Hyderabad owing to its
established public sector in life science Research.

The city houses the most expensive and posh residential real estate
in Andhra Pradesh in Banjara Hills and Jubilee Hills.
The city is home to the Telugu Film Industry, the second-largest in India,
known popularly as Tollywood.

Residents of Hyderabad are generally called Hyderabadis.
Located at the crossroads of North & South India,
Hyderabad has developed a unique culture that is reflected
in its language and architecture.

Beauty of Charminar Hyderabad during Night

Charminar, Hyderabad

Road Map OF Hyderabad


Mecca Masjid, Charminar, Hyderabad


Muslims offering Prayers at Mecca Masjid Hyderabad


High Courth of Andha Pradesh, Hyderabad India

Osmania Hospital Hyderabad

Golconda Fort Hyderabad

Legislative Assembly, Hyderabad

Qutub Shahi Tombs Hyderabad

Ramoji Flimcity Hyderabad

Chowmahalla Palace, Hyderabad

Falaknuma Palace, Hyderabad

Salar Jung Museum, Hyderabad

Nehru Zoological Park, Hyderabad

Gachi Bowli Stadium Gachi Bowli Hyderabad

Beautiful Evening Sunset at Hyderabad City

Enjoy the fun at Prasad Imax Multiplex Having Shopping Malls

TCS Campus Hyderabad

Birla Temple Marble Wonder Hyderabad

Cyber Towers, Hitech City, Hyderabad

Dell Campus,Hitech City, Hyderabad

HSBC Campus Hyderabad

Panoramic View from the Viceroy Tankbund
and Hussain Sagar in the backdrop

IBM Campus Hyderabad

I Labs Campus Hyderabad

Infosys Campus Hyderabad

Infotech Enterprise. Hyderabad

Indian School of business ISB- Hyderabad

Microsoft Indian Devolopment Center Only one ouside
the US Manikonda Hyderabad

Motorola Call up Center, Hyderabad

Novotol Campus Hyderabad

Cyber Towers Hitech City Hyderabad during night.

Beauty of Tank and Hussain Sagar

Basking IT Glory Raheja Mindspace, Cyberabad,Hyderabad

Hyderabad_airport_full

Cyber Gateways at Night, Hyderabad








MSAFIRI KAFIRI

YANGWA BINGWA KOMBE LA KAGAME

Mabingwa wa soka Tanzania Dar Young Afrikans (Yanga) wametwaa kombe la kagame baada ya kuwalaza watani wao wa jadi Simba kwa bao moja kwa uchungu katika fainali iliyopigwa katika dimba kuu la Taifa siku ya jumapili 10 julai 2011.
Katika fainali hiyo mchezo ulikuwa mzuri na wa kuviziana kwa dakika zote za mchezo,Yanga waliandika bao katika dakika ya 71 kipindi cha kwanza baada ya Kiiza kuunganisha kwa kichwa krosi iliyopigwa na Godfrey Taita lakini mshika kibendera alikataa kwa kudai kuwa mfungaji alikuwa ameotea,baada ya dakika 90 ziliongezwa dakika 30 na katika kipindi cha pili cha dakika za nyongeza alikuwa ni Rashid Gumbo aliemimina majaro safi iliyomkuta Asamoah ambaye bila ajizi alipeleka msiba Msimbazi kwa bao safi la kichwa na kumuacha golikipa Tanzania one Juma kaseja akichumpa bila mafanikio.

Asamoah muuaji katika fainali hiyo
Timu hizo zilikuwa zikikutana kwa mara ya tatu katika fainali hizo za CECAFA ambapo fainali ya kwanza ilikuwa mwaka 1975 katika uwanja wa Amani Zanzibar na yanga kuichapa Simba 2-0, zilikutana tena mwaka 1992 ambapo katika uwanja huohuo wa Amani Simba ililipa kisasi kwa kuilaza Yanga kwa penati 5-4 baada ya kutoshana nguvu 1-1 katika dakika 120, hivyo ushindi wa Yanga jana unachukuliwa kama kulipa kisasi cha miaka 20 iliyopita. Kwa ushindi huo Yanga wamelamba dola 30,000 na watani wao Simba wakiambulia dola 20,000 za ushindi wa pili.

Saturday, July 9, 2011

FAINALI KAGAME NI MSHIKEMSHIKE NYASI KUUMIA SIMBA NA YANGA





Hatimaye zile timu zilizokuwa zikiombewa madua ya kufa mtu zifike fainali ya michuano ya kombe la kagame yaani Simba na Yanga zote za Tanzania ambao ndio wenyeji wa michuano hiyo inayoshirikisha timu za ukanda wa Afrika mashariki na kati yametimia ambapo mshindi wa kwanza atajinyakulia kitita cha dola za kimarekani 30,000 wa pili dola 20,000 na wa tatu dola 10,000 ambazo jumla yake ni dola za kimarekani zikiwa zimetolewa na Rais wa Rwanda Paul Kagame ingawaje katika mechi hiyo hatokuwepo na anategemea kuwakilishwa na waziri wa habari,vijana utamaduni na michezo wa Rwanda Protas Mitani,Kagame amekuwa akidhamini michuano hiyo tangu 2002.
Pazia la michuano ya kombe la kagame linatarajiwa kufungwa siku ya jumapili ya tarehe 10 julai 2011 kwa kuwakutanisha miamba ya soka la Tanzania Simba na Yanga baada ya ti mu hizo kufanikiwa kutinga fainali katika michuano hiyo kwa kuwaondosha baadhi ya vigogo vya soka katika ukanda huu wa Afrika kama vile El-Mereikh ya Sudan,APR ya Rwanda,Vital O ya Burundi na St George ya Ethiopia.

Kikosi cha Simba

Simba Sports Club walifanikiwa kutinga katika fainali hizo mbio zikiwa zimeanzia katika makundi na hatimae kutinga robo fainali, katika mechi ya robo fainali Simba ama Wekundu a msimbazi walikutana na Bunamwaya kutoka Uganda na kuiondosha kwa ushindi wa mabao 2-1 na kutinga nusu fainali,katika mechi ya nusu fainali Simba walikutana na miamba ya soka barani Afrika El-Mereikh ya Sudan na kufanikiwa kuwaondosha katika fainali hizo kwa changamoto ya mikwaju ya penati huku mlinda mlango Juma Kaseja akionesha uhodari wake kwa kupangua penati ya mwisho ambayo imewapeleka Wekundu hao mpaka fainali ya michuano hiyo ya Kagame na sasa uso kwa uso na watani wao wa jadi Dar Young Afrikans siku ya jumapili.

Kikosi cha Yanga

Yanga nao walipata kutika katika robo fainali ambapo mechi ya robo fainali walikutana na Timu ya Red Sea kutoka Eritrea na kuwaondosha kwa changamoto ya mikwaju ya penati,katika mechi ya nusu fainali ambayo imechezwa jana katika dimba kuu la Taifa ilishuhudiwa watoto wa Jangwani wakiitupa nje ya michuano hiyo timu ngumu ya St George kutoka Ethiopia pia kwa changamoto ya mikwaju ya maguu sita ama mikwaju ya penati. Sasa hofu miongoni mwa washabiki na wapenzi wa timu hizo imepanda kwa 100% ukizingatia katika michuano hii hakuna kujiandaa kutokana na ratiba kuwa mbanano ili kukamilisha michuano hiyo

Friday, July 8, 2011

SIMBA DUME LA MBEGU LATINGA FAINALI KAGAME

Kikosi cha timu timu ya Simba
Timu ya Simba Sports Club ama wekundu wa msimbazi kama wanavyojulikana wametinga fainali katika michuano ya kagame baada ya kuiondosha timu ngumu ya El-Mereikh ya Sudan kwa changamoto ya mikwaju ya penati baada ya kutoshana nguvu ya bao moja kwa moja ndani ya dakika 90,na badae kuongezwa dakika 30 lakini mambo yakabaki vilevile ndipo ilipoamriwa kupigwa mikwaju ya penati.Katika mikwaju ya penati Simba walimalizia mkwaju wa mwisho na wa ushindi ukipigwa na mafisango na El Mereikh walipokosa mkwaju wa mwisho katika penati ya sita Wekundu wa msimbazi waliamka vitini kwa nderemo na vifijo wakiwa tayari wametinga fainali,shujaa katika mchezo huo alikuwa ni golikipa namba moja tanzania Juma Kaseja baada ya kuokoa mkwaju wa penati na kuiwezesha kutinga fainali.

Umati wa mashabiki wa Simba wakishangilia katika mechi hiyo.
Wekundu hao inawabidi kusubiri mshindi wa leo katika nusu fainali nyingine kati ya wapinzani wao wa jadi Dar Young Afrikans (Yanga) dhidi ya St George ya Ethiopia katika mchezo utakaounguruma katika dimba kuu la taifa jijini Dar Es Salaam.

Shujaa katika mechi hiyo golikipa Juma Kaseja

Wednesday, July 6, 2011

The Greatest Reggae Artist of All Times

While many may not agree with my selection, this reggae artist have certainly contributed to
the reggae fraternity in a major way and should get the respect he deserve. The music that
this artist produced will never die, as the impact made are so great that we are still touched by
his lyrics and sounds.
Bob Marley was born Robert Nesta Marley on Feb. 6,1945 in Saint Ann, Jamaica. His father, Norval Sinclairr1945.Marley, was a white Englishman and his mother, Cedelia Booker, was a black Jamaican. Bob Marley died of cancer in Miami, FL on May 11, 1981. Marley had 12 children, four by his wife Rita, and was a devout Rastafarian.  
         

Bob Marley's father died when he was 10 years old, and
his mother moved with him to  Kingston's Trenchtown
neighborhood after his death. As a young teen, he
befriended Bunny Wailer, and they learned to play music together. At 14, Marley dropped out of school to learn the welding trade, and spent his spare
time jamming with Bunny Wailer and ska musician Joe Higgs




 
         
.
         
         

Tuesday, July 5, 2011

TAKUKURU NI "JOKA LA KIBISA"

Watanzania wengi tuliposikia kuwa serikali imeanzisha taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa (TAKUKURU) tulifarijika sana na tukajua wazi kuwa sasa wale ambao walikuwa wanakula jasho letu na kulitia hasara taifa kwa mikataba feki,matumizi hewa na ujanja ujanja mwingine wakati wao umefika. Hali imekuwa tofauti na matarajio ya wengi kwani chombo hicho nyeti kimeonesha mapungufu makubwa kama sio madhaifu, Kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa zimegundua chombo hiki kuwa na udhaifu mkubwa katika kusimamia kesi na utekelezaji wa kazi zake,imebainika kuwa TAKUKURU imeshinda kesi moja tu na 99% ya kesi imeshindwa na kusababisha hasara ya kuwalipa walioshinda kesi fidia na malimbikizo ya mishahara, Katika hili Taifa linaendelea kupata hasara kutokana na TAKUKURU kutowajibika ipasavyo na inanipelekea kuona sasa chombo hiki hakina tofauti na nyoka wa Kibisa ambaye hana madhara pindi anapokuwa nacheza na binadamu.Naomba serikali itazame upya jinsi ya kuendesha chombo hiki nyeti katika Taifa.