Friday, May 27, 2011

DJ BOO KUWARUSHA WASHIRIKI BIG BROTHER JUMAMOSI HII.


Jumamosi hii washiriki waliomo katika jumba la Bigbrother Afrika watapata nafasi ya kuruka majoka ambapo katika moja na mbili atakuwepo Dj mashuhuri kutokaFM 101 Chifundo Ntwana a.k.a DJ BOO.Katika pati hilo lijulikanalo kama The 411 Party Catch.
Katika hali isiyo ya kawaida mshiriki mmoja aliyemo ndani ya jumba hilo wakati wa mazoezi aliwaonesha washiriki wenzake sinema ya bure kwa kuacha shanga za kiuno nje kwa hapa nyumbani maarufu kama "chachandu". wakati wenzake hasa wa jinsia tofauti wakikodolea macho yeye hakuonesha kujali na kuendelea kuchange mosheni vile awezavyo.

No comments:

Post a Comment