Monday, May 30, 2011

MMILIKI WA WILLIS TOWER AFANYA MAAJABU.

Mmiliki wa Jengo refu la Willis Tower lililopo Chicago nchini Marekani amejenga viboksi vya vioo vipatavyo vinne vilivyojitokeza kwa nje kwa ajili ya kubarizi uwapo katika jengo hilo. 
Jengo la Willis Tower nchini Marekani linavyoonekana kwa mbali ndani ya Chicago ambapo ghorofa ya 103 kumejengwa mabox ya vioo yaliyotokeza kwa pembeni.
Moja ya viboksi vya vioo kama unavyoona mtu anaweza kuangalia taswira ya kutisha ukiwa ghorofani.

Watoto wakila bata katika jengo la Willis Tower lililopo Chicago ndani ya Marekani.

Kama una roho nyepesi hakika hutothubutu kulala kama alivyolala mtoto huyu kutokana na ghorofa lilivyo refu.

Watalii wakipiga picha kutoka juu ghorofa ya 103.
umepaona kule chini? ni mbali sana.
Picha ikionesha jinsi unavyoweza kuingalia Chicago ukiwa ghorofa ya 103 ndani ya jengo refu la Willis Tower.

1 comment: