Thursday, May 26, 2011

WANAFUNZI WAANDAMANA BOTSWANA BAADA YA KUTOFUNDISHWA KWA WIKI TATU.

Wanafunzi wakiwa wameweka kizuizi barabarani kupinga kutokufundishwa kwa wiki tatu baada ya walimu nchini Botswana kugomea mishahara kiduchu.

    Wanafunzi wakichoma matairi katika mgomo huo .

  Askari wa usalama wakitafuta mbinu za kukabiliana na wanafunzi.

          Mmoja kati ya wanafunzi waliogoma nchini Botswana akiwa ameketi barabarani.
           Moto ukiendelea kuwaka

      Askari wakiingia eneo la tukio kuongeza nguvu.


   Askari wa usalama wakijaribu kuzima moto uliowashwa na wanafunzi katika mgomo huo.

  Wanafunzi wanaonekana kupoteana baada ya kuzidiwa nguvu na Askari wa kutuliza ghasia.

No comments:

Post a Comment