Friday, June 24, 2011

BARCELONA WATAJA DAU KUMNG'OA FABREGAS.

Csec Fabregas
Habari ya kweli ambayo imeripotiwa na magazeti mengi ya leo asubuhi ni kwamba Timu ya Barcelona ya Uhispania imetaja kuwa inataka kumsajili kiungo wa Arsenal ya Uingereza Csec Fabregas kwa kitita cha Paundi za Uingereza milioni 27.

No comments:

Post a Comment