Tuesday, August 23, 2011

FABREGAS ATIA KAMBANI KWA MARA YA KWANZA DHIDI YA NAPOLI

Fabregas akitia kambani goli lake la kwanza akiwa na Barcelona katika mechi ya Barcelona dhidi ya Napoli ambayo ilikuwa ya kirafiki kuwania kombe la Joan Gamper , ambapo Barcelona iliibugiza Napoli magoli 5-0.
Magoli yalifungwa na Messi 2,Pedro,Seydou Keita na Fabregas.


Matukio na magoli yote katika mechi hiyo

No comments:

Post a Comment