Tuesday, August 23, 2011

MAN UNITED YAIADHIBU TOTTENHAM HOTSPURS 3-0

Man United jana iliilipua Tottenham magoli 3 kwa ubuyu katika ligi kuu ya Uingereza inayoendelea nchini humo. Magoli yalifungwa na Welbeck,Rooney na Anderson akagongea msumari wa mwisho.
Tazama magoli jinsi yalivyoingia.

Picha ya magoli na matukio katika mechi hiyo

No comments:

Post a Comment