Friday, August 19, 2011

MNARA UNAOTAJWA KUWA MREFU KULIKO YOTE DUNIANI WAANZA KUJENGWA

Ujenzi wa mnara unaotarajiwa kuwa mrefu kuliko yote ambayo imepata kutokea duniani umeanza, Unatarajiwa kupewa jina la KINGDOM TOWER. Mnara huo unajengwa nchini Saudi Arabia na unatarajiwa kuwa na urefu wa zaidi ya futi 3000 na unatarajiwa kugharimu zaidi ya dola bilioni moja.
Mnara utakapokamilika muonekano uwapo mnarani utakuwa wa ajabu sana, ambapo ni zaidi ya 2/3 ya maili moja, utakuwa na maeneo ya biashara,maduka na sehemu za starehe.
Zifuatazo ni picha zitakazotokana na mnara huo pindi utakapokamilika.


 Tallest-tower
Manjonjo ya mnara huo sehemu ya juu na jinsi utakavyoonekan kwa mbele ukiwa Bahari ya Hindi.

Kingdom Tower
Taswira halisi ya mnara huo itakavyokuwa.


Tall Tower
Mandhari ya Kingdom Tower yatakavyokuwa sehemu ya chini.

No comments:

Post a Comment