Friday, August 26, 2011

Mwanadada Eva Carneiro daktari mpya wa Chelsea



Eva Carneiro akiwa katika benchi la Chelsea



Drogba akikatiza katika Benchi la Chelsea kushoto anaonekana Daktari wa timu mwanadada Eva, sasa sijui Drogba ndio anauza sura kwa kujipitisha ili aopoe?



Benchi la wachezaji wa akiba la Chelsea kushoto kocha Ferreira na kushoto mwisho mwanadada daktari Eva Carneiro

No comments:

Post a Comment