Monday, August 29, 2011

Real Madrid Yaiadhibu Zaragoza 6-0 Ronaldo apiga "hat trick"

Real madrid imeifumua Real Zaragoza nyumbani kwao kwa jumla ya mabao 6-0 magoli yakifungwa na Alonso,Kaka,Marcello na Ronaldo akitia tatu takatifu.

Alonso kifunga goli la 3


Ronaldo akifunga goli la nne


Kaka akifunga goli la 5


Ronaldo akifunga goli la sita na la tatu kwake katika mechi hiyo.


Marcelo akifunga goli la 2


Magoli yote sita

No comments:

Post a Comment