Monday, August 29, 2011

WENGER AFUNGUKA PAMOJA NA KIPIGO CHA AIBU SIBANDUKI NG'O


Ferguson akimpoza Wenger

Kocha wa kitambo wa Timu ya Arsenal Arsene Wenger amesema anahitaji kuongeza wachezaji watatu na akafunguka kuwa hatoki kamwe katika timu hiyo japokuwa amepata pointi moja tu katika michezo mitatu msimu huu. Wenger aliyasema hayo katika mahojiano yake na waandishi wa habari baada ya kupata kipigo kitakatifu kutoka kwa Man United cha 8-2 katika mechi ya ligi kuu Uingereza inayoendelea katika msimu wa 2011-2012.

No comments:

Post a Comment