Monday, November 7, 2011

Huyu ndio Moise Katumbi CHAPWE, Rais wa TOUT PUISSANT MAZEMBE


Rais wa TP Mazembe, Moise Katumbi Chapwe akiwa ndani ya ndege inayomilikiwa na klabu hiyo.


Wadau wa TP Mazembe wakipata huduma ndani ya pipa linalomilikiwa na Tout Puisssant Mazembe


Presidaa wa TP Mazembe Moise Katumbi akishuka kutoka kwenye ndege inayomilikiwa na TP Mazembe


Mmoja kati ya wahudumu wa ndani ya ndege ya TP Mazembe


Rais wa TP Mazembe Moise Katumbi Chapwe akichekelea ndani ya ndege


Baadhi ya wadau wa TP Mazembe


Wachezaji na wadau wengine wamejiachia ndani ya dege la TP Mazembe

No comments:

Post a Comment