
Rais wa TP Mazembe, Moise Katumbi Chapwe akiwa ndani ya ndege inayomilikiwa na klabu hiyo.

Wadau wa TP Mazembe wakipata huduma ndani ya pipa linalomilikiwa na Tout Puisssant Mazembe

Presidaa wa TP Mazembe Moise Katumbi akishuka kutoka kwenye ndege inayomilikiwa na TP Mazembe

Mmoja kati ya wahudumu wa ndani ya ndege ya TP Mazembe

Rais wa TP Mazembe Moise Katumbi Chapwe akichekelea ndani ya ndege

Baadhi ya wadau wa TP Mazembe

Wachezaji na wadau wengine wamejiachia ndani ya dege la TP Mazembe
No comments:
Post a Comment