Tuesday, April 10, 2012

PICHA ZA TOKA MSIBA MPAKA MAZISHI YA KANUMBA


Marehemu Steven Kanumba enzi za uhai wake


Marehemu Kanumba akiwa na waigizaji wenzake Ray na Johari


Kanumba akiwa na Muigizaji wa Nigeria Ramsey Noah


Marehemu Kanumba akiwa na Richard


Marehemu Kanumba katika filamu ya Crazy Love


Mama Salma Kikwete akimfariji mama yake mzazi marehemu Steven Kanumba nyumbani kwa marehemu Sinza.


Muigizaji wa kike nchini Irene Uwoya akiwa katika lindi la majonzi


Msanii wa bongo fleva Diamond akifuta machozi alipoenda msibani Nyumbani kwa marehemu Kanumba


Mh January Makamba mbunge wa jimbo la Bumbuli akiwasili msibani


Kamati ya Mazishi ikijadili jambo


Jukwaa likiwa katika maandalizi ya kumuaga marehemu Steven Kanumba katika viwanja vya Leaders.


Majani katika viwanja vya leaders yakisawazishwa ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kuuaga mwili wa marehemu Kanumba


Mahema yakiandaliwa




Umati uliohudhuria shughuli za kuuaga mwili wa msanii nguli wa filamu Steven Kanumba


Mama mzazi wa marehemu akipungia umati uliofika viwanja vya Leaders


Mwili wa marehemu Steven Kanumba ukiwasili katika viwanja vya Leaders kinondoni jijini Dar es salaam tayari kwa kuagwa na kwenda kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni




Mama Salma Kikwete akitoa heshima za mwisho


Makamu wa Rais Mh Ghalib Bilal akitoa heshima zake za mwisho


Waziri wa mambo ya nje Mh Benard Membe akitoa heshima zake za mwisho


Kamanda Kova akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa marehemu Kanumba katika viwanja vya leaders jijini Dar es salaam


Mh Joseph Mbilinyi 'Mr II" AKITOA HESHIMA ZAKE ZA MWISHO





watu wakielekea makaburi ya Kinondoni kumzika Kanumba


Watoto waliocheza filamu na Kanumba enzi za uhai wake mojawapo ni "uncle JJ"


Hartman akiwa na mdogo wake Kanumba






Watu walioenda kutoa heshima zao za mwisho wakiwa wamezimia kwa mshtuko wa kumuona msanii wao amelala milele


Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya akiwa amezimia akiwahishwa hospitalini


Msanii wa filamu za bongo Wema Abrahamu Sepetu nae akiwa amezimia




Kila mtu alikuwa na shauku ya kuona japo jeneza la marehemu Kanumba ndipo hawa wajomba walipoamua kupanda juu ya miti


Marehemu kanumba akiwa katika jeneza tayari kuzikwa


Mama akitoa heshima zake za mwisho kwa mwanawe












Happiness Magese akiwa na mashada ya maua


Rest In Peace Steven Charles Kanumba


Waombolezaji wakiwa na mashada ya maua kwa ajili ya mpendwa wao

No comments:

Post a Comment