Monday, April 23, 2012

SHAMPOO HIZI NI HATARI





Aina ya Shampoo zilizooneshwa hapo juu ni hatari kwa afya yako, Habari za kuthibitika zinasema kuwa serikali ya Dubai imechoma moto shehena ya shampoo hizo.
Taarifa za kitaalamu zinasema shampoo hizo zina kemikali kali inayoweza kuharibu ngozi yako kwa haraka zaidi kwani kemikali zilizotumika kutengenezea Shampoo hizo ni kali katika ngozi ya binaadamu na ni za matumizi ya maabara!

No comments:

Post a Comment