Thursday, May 31, 2012

SERIKALI YAIKABIDHI FAMILIA YA MAREHEMU KANUMBA "THE GREAT" Tshs MIL 10


Picture













Naibu waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo Amos Makalla akimkabidhi mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba Kitika cha Shilingi milioni 10 taslimu ikiwa ni ubani kwa niaba ya serikali

Serikali kupitia kwa Naibu waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo Amos Makalla imemkabidhi mama wa marehemu Steven Kanumba kiasi cha shilingi milioni 10 za Kitanzania ikiwa ni ubani kwa niaba ya familia.

Akipokea ubani huo mama yake Kanumba alisema" Nashukuru sana...ingawa Kanumba hatorudi lakini nashukuru sana, Naishukuru serikali, Nashukuru vyombo vya habari, Nawashukuru wasanii..sina la zaidi nashukuru sana"

Marehemu Steven Kanumba

No comments:

Post a Comment