Thursday, July 19, 2012

USAFIRI MPYA KUKABILI FOLENI MIJINI

Katika kupambana na tatizo la usafiri na pia kukabiliana na foleni zisizokwisha maeneo ya mijini hatimae kumeibuka usafiri wa aina yake ambao unajulikana kama "Burger" Aina hii ya usafiri haitofautiani sana na ile ya Mshikaki lakini hii inabeba watu wengi zaidi kwa kutumia chombo kilekile cha usafiri....haya sasa wakazi wa pale Dar es salaam usafiri huu utawafaa sanaa!!

No comments:

Post a Comment