Thursday, August 16, 2012

CHADEMA KUZINDUA TAWI HOUSTON MAREKANI Agosti 25,2012


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewatangazia wananchi wote kuwa Siku ya Jumamosi Aug 25 kutakuwa na ufunguzi rasmi wa tawi la chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Jijini Houston, Texas Nchini Marekani
Wageni rasmi wa ufunguzi wa tawi hilo ni Mhe. Freeman Mbowe na Mhe. Jodeph Mbilinyi a.k.a Mr II/Sugu
Sherehe za ufunguzi wa tawi hilo zitaanza mida ya saa 5:PM (Jioni).

No comments:

Post a Comment