Thursday, August 16, 2012

MASIKINI FABRICE MUAMBA, MPIRA NDIO BASI TENA


Fabrice Muamba

Mchezaji mahiri wa Timu ya Bolton Wanderers inayoshiriki ligi kuu ya Barclays Nchini Uingereza Fabrice muamba amestaafu rasmi soka baada ya kupokea ushauri wa mwisho kutoka kwa jopo la madaktari bingwa wa moyo na klabu ya Bolton ilitangaza rasmi Muamba kutocheza tena soka kufuatia matatizo ya kiafya.

Muamba akiongea kwa huzuni alisema amekuwa na ndoto za kurudi uwanjani na kukipiga katika klabu yake ya Bolton siku zote alizokuwa katika matibabu.
"Tangu kipindi nilipopata mshtuko wa moyo na kutolewa hospitalini, Nilikuwa na matumaini makubwa ya kuendelea na mchezo wangu wa soka na kuichezea Bolton Wonderers kwa mara nyingine" Alisema Muamba kwa huzuni kubwa.

Wiki iliyopita Muamba alisafiri mpaka Ubelgiji kwenda kufanyiwa oparesheni ndogo ya moyo na madaktari kumshauri kwasasa asahau kukipiga kutokana na hali ya afya yake.
Haya ndio maneno ya Fabrice Muamba wakati akitangaza kustaafu soka kutokana na matatizo ya kiafya.

“I have remained utterly positive in the belief I could one day resume my playing career.

“But the news was obviously not what I had hoped it would be and I am now announcing my retirement.
“Football has been my life. I count myself very lucky to have been able to play at the highest level.
“While the news is devastating, I have much to be thankful for.
“I thank God that I am alive and I pay tribute once again to the members of the medical team who never gave up on me.
“I would also like to thank everyone who has supported me throughout my career, and the Bolton fans.
“I am blessed to have the support of my family and friends at this time.”


Soma zaidi hapa: http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/4488759/Fabrice-Muamba-retires-Bolton-ace-quits-over-heart-fears.html#ixzz23gqM1Uop Ikumbukwe Muamba al manusra apoteze maisha baada ya kuzimia kwa dakika 78 alipozirai wakati wa mechi kombe la FA kati ya Bolton na Tottenham katika dimba la White Hart Lane Machi 17,2012. Nae Mchumba wa Muamba, Shauna Muamba alikuwa na haya ya kusema “Thanks for all the support. We’re blessed to have our family and we’re looking forward to whatever the future holds.”
Soma zaidi hapa: http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/4488759/Fabrice-Muamba-retires-Bolton-ace-quits-over-heart-fears.html#ixzz23grXAMIL



Daaah jembeee, pole sana yote maisha cha muhimu ni kumshukuru mungu kuwa upo hai mpaka leo baada ya kuzimia kwa masaa 78.

Picha za siku Muamba alipozima ghafla uwanjani







Fabrice Muamba katika uzi wa Bolton kabla ya kupatwa na matatizo ya kiafya(moyo).

No comments:

Post a Comment