Monday, September 10, 2012

SIMU YA MKONONI NI HATARI KWA MAISHA YAKO,TAFADHALI ITUMIE KISTAARABU

Fun & Info @ Keralites.net
Hawa wanapata kahawa jioni lakini maongezi hakuna kila mtu bizee na kisimu chake


Fun & Info @ Keralites.net
Wapo Dinner lakini kila mtu kwenye simu jamani kunaniii simuni?

Fun & Info @ Keralites.net
Wamekaa wanamsubiri mgeni hotelini lakini hakuna stori ni simu tuu..khaaa!!!??

Fun & Info @ Keralites.net
Wamekutana chakula cha usiku"Dinner" mhhh biiizee na simu no stori hapa

Fun & Info @ Keralites.net
Marafiki wapo Ufukweni "Beach" lakini hakuna stori, hakuna kucheza wala kuogelea ni simu tuuu..mweeee!!!

Fun & Info @ Keralites.net
Haya sasa mtu yupo uwanjani hafuatilii tena mechi ni simu tuuu bhaaaah!!

Fun & Info @ Keralites.net
Hawa ni wapenzi wametoana "OUT" badala ya kubadilishana mawazo kudumisha penzi lao
kazi ni moja simuuu heeee!!

Fun & Info @ Keralites.net
Misere na ndinga kitaani No stori ni simu tu kuchata kwa kwenda mbele kaazi kwelikweli

Fun & Info @ Keralites.net
Shughuli sasa hii hapa, Wanapoendesha magari ni simu tuuu vimeseji mwisho wa siku wanasababisha ajali...jamani mhhh ukistaajab ya Khalid Utayaona ya Firauni.

Fun & Info @ Keralites.net
Achana na waendesha magari shughuli pia imo kwa watembeaji kwa miguu na waendesha baiskeli, umeonaaa ni simu tuuu kudadadadekii utakoma mwenyewe ni kikumbo tu ukizubaazubaa!!

No comments:

Post a Comment