Wednesday, January 23, 2013

TUNISIA YAICHAPA ALGERIA

Tunisia imeizamisha Algeria 1-0 katika mchezo uliopigwa katika dimba la Royal Bafokeng na kuhudhuriwa na watazamaji wapatao 8,000.
Katika mtanange huo timu zote zilicheza kandanda safi na la kuvutia na watazamaji kuwa na kiu ya kuona bao kwa dakika zote 90 kabla ya Y M'sakni kuondoa mzimu wa droo katika mashindano hayo alipotupia bao katika dakika ya 90.



Kambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Tazama mechi yote

No comments:

Post a Comment