Monday, January 27, 2014

CABAYE KUTUA PSG

Taarifa zilizopo kwenye gazeti la Le Parisien la leo limeripoti kwamba PSG wataelekea Newcastle kukandamiza dau la pili la Paundi milioni 20 kutoka milioni 14 ili kumnasa Yohan Cabaye.

Mkurugenzi wa PSG Olivier Letang ataelekea Kufanya mkutano na Uongozi wa Newcastle ili kumnasa Cabaye.


Yehan Cabaye



No comments:

Post a Comment