Tuesday, May 24, 2011

AMINI USIAMINI

Hapa duniani kuna viumbe wengi sana ambapo kila kiumbe kina tabia zake tofauti na viumbe wengine, ikiwa ni pamoja na uwezo wao wa kukabiliana na mazingira kulingana na hali ya hewa ya eneo husika pia viumbe hutofautiana katika uwezo wa kupambana na hali na katika kujitafutia ridhiki yaani hali ya kujiwezesha kuishi na hali kujiwezesha kuwa hai katika eneo husika.
Leo nitoe mfano Paka anaishi katika mazingira ambayo binaadamu anaishi lakini katika kuishi huko Paka amekuwa akiwadhuru baadhi ya viumbe ambavyo binaadamu anafuga kwa faida moja au zaidi.

No comments:

Post a Comment