Friday, June 24, 2011

WENGER AJIPANGA KUMNASA DIARRA

Mahamadou Diarra
Meneja wa timu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger anajipanga kumnasa nyota wa Real Madrid Mahamadou Diarra. Habari zinasema Wenger anajipanga kumpa Diarra mkataba wa mwaka mmoja na kumtengea mshahara wa paundi za Uingereza 50,000 kwa wiki.

No comments:

Post a Comment