Friday, August 26, 2011

LEONEL MESSI MCHEZAJI BORA ULAYA 2011-2012 Xavi namba 2, Ronaldo aambulia kura 2

Lionel Messi
MESSI

Leonel Messi mshambuliaji wa kutisha na kuogopwa wa F.C Barcelona ya Spain ameibuka kidedea na kuwa mchezaji bora zaidi wa soka barani ulaya 2011-2012.
Messi alitangazwa mshindi baada ya droo iliyofanyika Monaco kupanga makundi ya klabu bingwa ulaya 2011-2012, katika kinyang'anyiro hiko Messi aliwapiku Xavi kwa kura 11 na kuwa wa pili huku akimzidi Christian Ronaldo wa Real Madrid aliyekuwa wa tatu kwa kura nyingi ambapo Ronaldo aliambulia kura tatu tu.

Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo;

1 Lionel Messi (ARG) – FC Barcelona (39 votes)
2 Xavi Hernández (ESP) – FC Barcelona (11 votes)
3 Cristiano Ronaldo (POR) – Real Madrid CF (3 votes)
4 Andrés Iniesta (ESP) – FC Barcelona
5 Falcao (COL) – ex FC Porto (Club Atlético de Madrid)
6 Wayne Rooney (ENG) – Manchester United FC
7 Nemanja Vidić (SRB) – Manchester United FC
8 Zlatan Ibrahimović (SWE) – AC Milan
Gerard Piqué (ESP) – FC Barcelona
10 Manuel Neuer (GER) – ex FC Schalke 04 (FC Bayern München)

No comments:

Post a Comment