Thursday, January 23, 2014

JUSTIN BIEBER AKAMATWA NA POLISI JIJINI MIAMI

justin bieber arrested dui
Justin Bieber

Bieber leo asubuhi amekamatwa jijini Miami na Polisi wa jiji hilo kwa kuendesha gari wakati akiwa "bwax".
Justin Bieber alikamwatwa akiendesha Lamborgini ya njano katika mitaa ya Miami huku amelewa yaani bwaaaaxxx!! Soma zaidi juu ya msala huu wa Bieber  

 
Justin Bieber

No comments:

Post a Comment