
Justin Bieber
Bieber leo asubuhi amekamatwa jijini Miami na Polisi wa jiji hilo kwa kuendesha gari wakati akiwa "bwax".
Justin Bieber alikamwatwa akiendesha Lamborgini ya njano katika mitaa ya Miami huku amelewa yaani bwaaaaxxx!! Soma zaidi juu ya msala huu wa Bieber

Justin Bieber
No comments:
Post a Comment